Matthew 25:16 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mara yule aliyekabidhiwa fedha talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule aliyepewa talanta tano akaenda mara moja akafanya nazo biashara akapata talanta nyingine tano zaidi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mara yule aliyepokea talanta tano akaenda, akafanya biashara nazo, akachuma faida talanta nyingine tano.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtumishi aliyepewa talanta tano alikwenda akazifanyia biashara na talanta zile tano zikazaa talanta tano zingine.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mara yule aliyekabidhiwa talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mara yule aliyekabidhiwa fedha talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule aliyepewa talanta tano akaenda mara moja akafanya nazo biashara akapata talanta nyingine tano zaidi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule aliyepewa talanta tano akaenda mara moja akafanya nazo biashara akapata talanta nyingine tano zaidi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mara yule aliyepokea talanta tano akaenda, akafanya biashara nazo, akachuma faida talanta nyingine tano.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mara yule aliyekabidhiwa fedha talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yule aliyepokea elfu tano akaenda, akazichuuzia, akachuma nazo nyingine elfu tano.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mara yule aliyepokea talanta tano akaenda, akafanya biashara nazo, akachuma faida talanta nyingine tano.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mara moja yule mutumishi aliyepata furushi tano, akaenda kufanya uchuuzi na mali ile, akafaidia zingine tano.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi yule aliyepokea talanta tano akashika njia, akafanya kazi nazo, akachuma talanta nyingine tano.