Matthew 25:2 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watano wao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Watano kati yao walikuwa na hekima, na watano walikuwa wajinga.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watano wao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watano wao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watano wao walikuwa wajinga, wenzao watano walikuwa werevu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watano kati yao walikuwa wajinga na watano walikuwa wenye akili.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Watano wao walikuwa wenye busara, ua watauo wapumbavu.