Matthew 25:28 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, mnyanganyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“ ‘Basi mnyang’anyeni hiyo talanta, mkampe yule mwenye talanta kumi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, mnyang'anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo bwana wao akawaambia watumishi wake wengine, ‘Mnyang'anyeni talanta moja mtumishi huyo na kumpa mtumishi mwenye talanta kumi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, mnyang'anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, mnyang'anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“ ‘Basi mnyang'anyeni hiyo talanta mkampe yule mwenye talanta kumi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“ ‘Basi mnyang’anyeni hiyo talanta, mkampe yule mwenye talanta kumi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, mnyang'anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, mnyanganyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo ichukueni elfu yake ya fedha, mmpe mwenye elfu kumi!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, mnyang’anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumunyanganye ile furushi moja na kuitoa kwa yule anayekuwa na furushi kumi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi, mnyangʼanyeni talanta yake, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.