Matthew 25:4 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
lakini wale wenye busara walichukua taa zao na mafuta ya akiba kwenye vyombo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
bali wale wenye busara walitwaa mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wanawali wenye hekima walichukua taa zao pamoja na mafuta ya ziada kwa ajili ya taa zao katika chupa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
lakini wale wenye busara walichukua taa zao na mafuta ya akiba kwenye vyombo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
lakini wale wenye busara walichukua taa zao na mafuta ya akiba kwenye vyombo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
bali wale wenye busara walitwaa mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wale werevu walichukua mafuta katika vichupa pamoja na taa zao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
bali wale wenye busara walitwaa mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wale wenye akili walitwaa machupa ya mafuta pamoja na taa zao.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
bali wale wenye busara walitwaa na mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.