Matthew 25:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usiku wa manane kukawa na kelele: ‘Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Usiku wa manane pakawa na kelele: ‘Tazameni, huyu hapa bwana arusi! Tokeni nje mkamlaki!’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini usiku wa manane, pakawa na kelele, Haya, bwana arusi; tokeni mwende kumlaki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Usiku wa manane ulipofika, ikatangazwa, ‘Bwana arusi anakuja! Njooni mumlaki!’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Usiku wa manane kukawa na kelele: Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usiku wa manane kukawa na kelele: ‘Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Usiku wa manane pakawa na kelele: ‘Tazameni, huyu hapa bwana arusi! Tokeni nje mkamlaki!’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Usiku wa manane pakawa na kelele: ‘Tazameni, huyu hapa bwana arusi! Tokeni nje mkamlaki!’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini usiku wa manane, pakawa na kelele, Haya, bwana harusi; tokeni mwende kumlaki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usiku wa manane kukawa na kelele: ‘Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kati ya usiku pakawa na kelele: Tazameni, bwana arusi huyo! Tokeni, mmpokee!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini usiku wa manane, pakawa na kelele, Haya, bwana arusi; tokeni mwende kumlaki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Ilipokuwa katikati ya usiku, kelele likasikilika, likisema: ‘Angalia, bwana-arusi anakuja! Muondoke kwenda kumupokea!’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Hatta usiku wa manane, pakawa na kelele, Haya, bwana arusi anakuja; tokeni kwenda kumlaki.