Matthew 26:20 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ilipofika jioni, Isa alikuwa ameketi mezani pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Thenashara.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Jioni ilipowadia, Yesu alikuwa ameketi mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ilipofika jioni, Yesu alikuwa ameketi mezani pamoja na wale kumi na wawili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ilipofika jioni, Isa alikuwa ameketi mezani pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Kumi na Wawili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ilipokuwa jioni, akakaa chakulani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Thenashara.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ilipokuwa magaribi, Yesu akaikaa kula chakula pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi ilipokuwa jioni akaketi chakulani pamoja na wale thenashara.