Matthew 26:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nao walipokuwa wakila, Isa akasema, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Walipokuwa wakila Yesu akasema, “Niaminini, ninapowaambia kuwa mmoja wenu ninyi kumi na wawili atanikabidhi kwa maadui zangu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nao walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Amin, amin nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nao walipokuwa wakila, Isa akasema, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipokuwa wakila, akasema: Kweli nawaambiani: Mwenzenu mmoja atanichongea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao walipokuwa wakikula, akasema: “Kweli ninawaambia: mumoja kati yenu atanitoa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Walipokuwa wakila, akasema, Amin, nawaambieni, Mmoja wenu atanisaliti.