Matthew 26:22 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, “Bwana! Je, ni mimi?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakahuzunika sana, wakaanza kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wanafunzi walisikitika sana waliposikia hili. Kila mmoja akasema, “Bwana, hakika si mimi!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, “Bwana! Je, ni mimi?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, “Bwana! Je, ni mimi?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakahuzunika sana, wakaanza kumwambia mmoja mmoja, “Je, ni mimi Bwana?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakahuzunika sana, wakaanza kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, “Bwana! Je, ni mimi?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakasikitika sana, wakaanza kumwuliza kila mmoja: Bwana, ni mimi?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanafunzi wakahuzunika sana na kuanza kumwuliza mumoja kwa mumoja: “Bwana, ni mimi?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakahuzunika sana, wakaanza kumwambia mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?