Matthew 26:32 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini baada ya kuuawa, nitafufuka Kisha nitakwenda Galilaya. Nitakuwa huko kabla ninyi hamjaenda huko.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini baada ya mimi kufufuka, nitawatangulia kwenda Galilaya.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nitampiga mchungaji, kondoo wa kundi lake watawanyike; lakini nitakapokwisha kufufuliwa nitawatangulia kwenda Galilea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini nitakapokwisha kufufuka, nitawatangulia Galilaya.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitatangulia mbele yenu kwenda Galilaya.