Matthew 26:33 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Petro akamwambia Yesu, “Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakuacha kamwe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Petro akajibu, “Hata kama wote watakuacha, kamwe mimi sitakuacha.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kamwe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Petro akajibu, “Wafuasi wengine wote wanaweza kupoteza imani juu yako. Lakini imani yangu haitatetereka.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Petro akamwambia Yesu “Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakuacha kamwe.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Petro akamwambia Yesu, “Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakuacha kamwe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Petro akajibu “Hata kama wote watakuacha, kamwe mimi sitakuacha.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Petro akajibu, “Hata kama wote watakuacha, kamwe mimi sitakuacha.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kamwe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Petro akamwambia Yesu, “Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakuacha kamwe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Petero alipojibu akimwambia: Ijapo wote wajikwae kwako, lakini mimi sitajikwaa kamwe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kamwe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Petro akamujibu: “Hata wote wakianguka, mimi sitaanguka hata kidogo.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kabisa.