Matthew 26:44 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo akawaacha akaenda tena kuomba. Mara hii ya tatu alipokuwa anaomba akasema kama alivyosema hapo mwanzo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawaacha, akaenda tena, akaomba mara ya tatu akisema tena maneno yale yale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawaacha tena, na kwenda kuomba kwa mara ya tatu, akirudilia maombi yale yale.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaacha tena, akaenda akaomba marra ya tatu, akisema maneno yaleyale.