Matthew 26:49 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yuda akamkaribia Yesu, akamwambia, “Shikamoo, Mwalimu!” Kisha akambusu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mara Yuda akamjia Isa na kumsalimu, “Salamu, Mwalimu!” Akambusu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu, Rabi, akambusu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo Yuda alikwenda kwa Yesu na kumwambia, “Salamu, Mwalimu!” Kisha akambusu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Yuda akamkaribia Yesu, akamwambia, “Shikamoo, Mwalimu!” Kisha akambusu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yuda akamkaribia Yesu, akamwambia, “Shikamoo, Mwalimu!” Kisha akambusu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mara akamjia Yesu na kumsalimu, “salamu, Rabi!” Akambusu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mara Yuda akamjia Isa na kumsalimu, “Salamu, Mwalimu!” Akambusu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu, Rabi, akambusu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yuda akamkaribia Yesu, akamwambia, “Shikamoo, Mwalimu!” Kisha akambusu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mara akamjia Yesu, akasema: Salamu, mfunzi mkuu! Akamnonea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu, Rabi, akambusu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yuda alipofika, akamujongelea Yesu, na kumwambia: “Jambo, Mwalimu.” Na kisha akamubusu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Marra akamwendea Yesu, akasema, Salam, Rabbi, akambusu sana.