Matthew 26:72 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Petro akakana tena kwa kiapo: “Simjui mtu huyo.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akakana tena kwa kiapo akisema, “Mimi simjui huyo!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akakana tena kwa kiapo, Simjui mtu huyu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa mara nyingine tena Petro akasema hakuwa pamoja na Yesu. Akasema, “Ninaapa kwa Mungu, simfahamu mtu huyu!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Petro akakana tena kwa kiapo: “Simjui mtu huyo.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Petro akakana tena kwa kiapo: “Simjui mtu huyo.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akakana tena kwa kiapo akisema, “Mimi simjui huyo!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akakana tena kwa kiapo akisema, “Mimi simjui huyo!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akakana tena kwa kiapo, Simjui mtu huyu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Petro akakana tena kwa kiapo: “Simjui mtu huyo.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akakana tena na kuapa akisema: Simjui mtu huyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akakana tena kwa kiapo, Simjui mtu huyu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Petro akakana tena akaapa akisema: “Ninaapa ya kuwa simujui mutu huyu!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akakana tena kwa kiapo, Simjui mtu huyu.