Matthew 26:9 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Manukato haya yangeuzwa kwa bei kubwa, na fedha hizo wakapewa maskini.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa fedha nyingi wakapewa maskini.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yangeuzwa na pesa nyingi ingepatikana, na pesa hiyo wangepewa maskini.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Manukato haya yangeliuzwa kwa bei kubwa na fedha hizo wakapewa maskini.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Manukato haya yangeuzwa kwa bei kubwa, na fedha hizo wakapewa maskini.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa fedha nyingi wakapewa maskini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mafuta haya yangaliwezekana kuuzwa kwa fedha nyingi, wakapewa maskini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa fedha nyingi wakapewa maskini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Marasi hii ingeuzishwa kwa bei kali na kuwagawanyia wamasikini mali ile!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa fedha nyingi wakapewa maskini.