Matthew 27:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini viongozi wa makuhani na wazee walipomshtaki, hakujibu neno.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini viongozi wa makuhani na viongozi wazee wa Kiyahudi walipomshutumu, hakusema kitu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini viongozi wa makuhani na wazee walipomshtaki, hakujibu neno.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini viongozi wa makuhani na wazee walipomshtaki, hakujibu neno.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena aliposutwa nao watambikaji wakuu na wazee hakujibu neno.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na kisha wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakamushitaki,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Aliposhitakiwa na makuhani wakuu na wazee, hakujibu hatta neno.