Matthew 27:13 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayokushuhudia?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo Pilato akamwambia, “Husikii mashtaka haya yote wanayokushtaki wewe? Kwa nini hujibu?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Pilato akamwuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Pilato alipomwambia: Husikii yote, wanayokusimangia?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayokushuhudia?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
lakini hakujibu neno. Halafu Pilato akamwuliza tena: “Hausikii mambo haya yote wanayokushitakia?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ndipo Pilato akamwambia, Husikii mambo mangapi wanayokushuhudia?