Matthew 27:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mkuu wa mkoa akawauliza, “Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka nimfungue?” Wakamjibu, “Baraba!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtawala akawauliza tena, “Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka niwafungulie?” Wakajibu, “Baraba.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi liwali akajibu, akawaambia, Mnataka niwafungulie yupi katika hawa wawili? Wakasema, Baraba.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Pilato akasema, “Nina Baraba na Yesu. Je, mnataka nimwache huru yupi?” Watu wakajibu, “Baraba!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mkuu wa mkoa akawauliza, “Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka nimfungue?” Wakamjibu, “Baraba!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mkuu wa mkoa akawauliza, “Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka nimfungue?” Wakamjibu, “Baraba!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtawala akawauliza tena, “Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka niwafungulie?” Wakajibu, “Baraba.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtawala akawauliza tena, “Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka niwafungulie?” Wakajibu, “Baraba.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi mtawala akajibu, akawaambia, Mnataka niwafungulie yupi kati ya hawa wawili? Wakasema, Baraba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mkuu wa mkoa akawauliza, “Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka nimfungue?” Wakamjibu, “Baraba!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtawala nchi akajibu akiwaambia: Katika hawawawili mwamtaka yupi, niwafungulie? Wakasema: Baraba!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi liwali akajibu, akawaambia, Mnataka niwafungulie yupi katika hawa wawili? Wakasema, Baraba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Liwali akawauliza: “Munataka niwafungulie nani kati ya watu hawa wawili?” Nao wakamujibu: “Utufungulie Baraba.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini liwali akajibu, akawaambia, Mnataka niwafungulie nani katika hawo wawili? Wakasema, Barabba.