Matthew 27:61 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mariamu Magdalene na yule Mariamu mwingine walikuwa mahali pale, wakiwa wameketi mkabala na kaburi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na pale walikuwapo Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, wameketi kulielekea kaburi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mariamu Magdalena na mwanamke mwingine aliyeitwa Mariamu walikuwa wamekaa karibu na kaburi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwapo mahali pale, wakiwa wameketi mkabala na kaburi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwepo mahali pale, wakiwa wameketi mkabala na kaburi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na pale walikuwapo Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, wameketi kulielekea kaburi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao akina Maria Magadalene na Maria yule mwingine, walikuwa wamekaa hapa wakilielekea kaburi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na pale walikuwapo Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, wameketi kulielekea kaburi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maria wa Magdala na yule Maria mwingine walikuwa wakiikaa pale, kuelekea kwenye kaburi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Walikuwako hapo Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, wameketi kulielekea kaburi.