Matthew 27:65 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Pilato akawaambia, “Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pilato akawaambia, “Ninyi mnao askari walinzi. Nendeni, liwekeeni ulinzi kadiri mnavyoweza.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Pilato akawaambia, Mna askari; nendeni mkalilinde salama kadiri mjuavyo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Pilato akasema, “Chukueni baadhi ya askari, na mwende mkalinde kaburi kwa namna mnavyojua.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Pilato akawaambia, “Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Pilato akawaambia, “Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pilato akawaambia, “Ninyi mnao askari walinzi. Nendeni, liwekeeni ulinzi kadri mwezavyo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pilato akawaambia, “Ninyi mnao askari walinzi. Nendeni, liwekeeni ulinzi kadri mwezavyo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Pilato akawaambia, Mna askari; nendeni mkalilinde salama kadiri mjuavyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Pilato akawaambia, “Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Pilato akawaambia: Chukueni askari wa kulinda! Nendeni, mkalilinde kaburi, kama mnavyojua!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Pilato akawaambia, Mna askari; nendeni mkalilinde salama kadiri mjuavyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Pilato akawajibu: “Muko na waaskari walinzi. Muende kuchunga kaburi kwa kadiri munavyoweza.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Pilato akawaambia, Mna askari: enendeni kalilindeni sana kadiri mjuavyo.