Matthew 28:4 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale walinzi wa kaburi walimwogopa sana, wakatetemeka hata wakawa kama wafu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Askari waliokuwa wanalinda kaburi walimwogopa sana malaika, walitetemeka kwa woga na wakawa kama watu waliokufa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale walinzi wa kaburi walimwogopa sana, wakatetemeka hata wakawa kama wafu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale walinzi wa kaburi walimwogopa sana, wakatetemeka hata wakawa kama wafu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walinzi wakaingiwa na woga, wakatetemeka, wakawa kama wafu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu wale walinzi wa kaburi wakaogopa sana na kutetemeka, hata wakakuwa kama wamekufa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na kwa kumwogopa walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.