Matthew 3:2 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Tubuni, kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yohana alisema, “Tubuni na kuibadili mioyo yenu, kwa sababu ufalme wa Mungu umekaribia.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Tubuni, maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni u karibu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Juteni! Kwani ufalme wa mbinguni umekaribia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
akisema: “Mugeuke toka zambi zenu, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.