Matthew 4:1 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Isa akaongozwa na Roho Mtakatifu wa Mungu hadi nyikani ili ajaribiwe na ibilisi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Roho Mtakatifu akamwongoza Yesu hadi nyikani ili akajaribiwe na Shetani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha Yesu akaongozwa na Roho Mtakatifu kuingia nyikani ili akajaribiwe na ibilisi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha Isa akaongozwa na Roho wa Mwenyezi Mungu kwenda nyikani ili akajaribiwe na ibilisi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Yesu akapelekwa na Roho nyikani, ajaribiwe na Msengenyaji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha Roho Mutakatifu akamwongoza Yesu kwenda katika jangwa kusudi ajaribiwe na Shetani.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
NDIPO Yesu alipopandishwa na Roho hatta jangwani, illi ajaribiwe na Shetani.