Matthew 4:12 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa aliposikia kwamba Yahya alikuwa amefungwa gerezani, alirudi Galilaya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu aliposikia kuwa Yohana alikuwa amefungwa gerezani, alirudi katika wilaya ya Galilaya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu aliposikia kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa aliposikia kwamba Yahya alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu aliposikia, ya kwamba Yohana amefungwa, akaondoka akaenda mpaka Galilea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu aliposikia kwamba Yoane ametiwa katika kifungo, akaenda zake Galilaya.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, akaenda zake hatta Galilaya;