Matthew 4:14 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ili kutimiza neno lililonenwa na nabii Isaya, aliposema:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hili lilitokea ili kutimiza maneno aliyosema nabii Isaya:
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ili kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama alivyosema:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ili kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama alivyosema:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kusudi neno, mfumbuaji Yesaya alilolisema, lipate kutimizwa:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Isaya:
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
illi litimie neno lililonenwa na Nabii Isaya, akisema,