Matthew 4:7 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamwambia, “Imeandikwa pia: ‘Usimjaribu Bwana, Mungu wako.’”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamjibu, “Pia imeandikwa: ‘Usimjaribu Mwenyezi Mungu, Mungu wako.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akamjibu, “Pia, Maandiko yanasema, ‘usimjaribu Bwana Mungu wako.’”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamwambia, “Imeandikwa pia: Usimjaribu Bwana, Mungu wako.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamwambia, “Imeandikwa pia: ‘Usimjaribu Bwana, Mungu wako.’”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamjibu, “Pia imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamjibu, “Pia imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mwenyezi Mungu wako.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamwambia, “Imeandikwa pia: ‘Usimjaribu Bwana, Mungu wako.’”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akamwambia: Tena imeandikwa: Usimjaribu Bwana Mungu wako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akamujibu: “Imeandikwa hivi vilevile: ‘Usimujaribu Bwana Mungu wako.’ ”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akamwambia. Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.