Matthew 5:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mmesikia kuwa hapo kale baba zetu waliambiwa, ‘Usimwue yeyote. Na yeyote atakayeua atahukumiwa.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue, ye yote atakayeua atapaswa hukumu.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mmesikia, ya kuwa watu wa kale waliambiwa: Usiue! Mtu akiua, itampasa, ahukumiwe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Mumesikia kwamba babu zenu waliambiwa: ‘Usiue; mutu yeyote anayeua anapaswa kuhukumiwa.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mmesikia watu wa kale walivyoanibiwa, Usiue; na mtu akiua, itampasa hukumu.