Matthew 5:31 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ilisemwa pia kuwa, ‘Kila anayemtaliki mkewe ni lazima ampe hati ya talaka.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Ilikwisha semwa pia: Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu ye yote amwachaye mkewe na ampe hati ya talaka.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena ilisemwa: Mtu akimwacha mkewe ampe cheti cha kuachana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Na zaidi ya hii imesemwa: ‘Kila mutu anayemufukuza muke wake amupe barua ya kuachana naye.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Waliambiwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe khati ya talaka;