Matthew 5:4 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Heri wale wanaohuzunika, maana hao watafarijiwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Heri wenye huzuni; Maana hao watafarijika.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Heri kwa wenye huzuni sasa. Kwa kuwa watafarijiwa na Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Heri wale wanaohuzunika, maana hao watafarijiwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Heri wale wanaohuzunika, maana hao watafarijiwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Heri wenye huzuni; Maana hao watafarijika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wenye shangwe ndio wanaosikitika, maana hao watatulizwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Heri wenye huzuni; Maana hao watafarijika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Heri wale wanaokuwa na huzuni, maana Mungu atawafariji!
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wa kheri wenye huzuni: maana hawo watafarajika.