Matthew 6:19 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Msijiwekee hazina duniani, ambapo nondo na kutu huharibu, nao wezi huvunja na kuiba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wevi huvunja na kuiba;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Msijiwekee hazina hapa duniani, mahali nondo na kutu huiharibu. Na wezi wanaweza kuvunja nyumba yako na kuziiba.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Msijiwekee hazina duniani, mahali ambapo nondo na kutu huharibu, nao wevi huvunja na kuiba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Msijiwekee hazina duniani, mahali ambapo nondo na kutu huharibu, nao wevi huvunja na kuiba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wezi huvunja na kuiba;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Msijilimbikie malimbiko nchini, mende na kutu zinapoyaharibu! Nao wezi huyafukua na kwiba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wevi huvunja na kuiba;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Musijiwekee akiba katika dunia hii, pahali nondo na kutu vinapoharibu, nao wizi wanapotoboa nyumba na kuiba.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu ziharibupo, na wevi huvunja na kuiba: