Matthew 6:21 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo pia moyo wako utakapokuwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa kuwa roho yako itakuwa mahali ilipo hazina yako.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo pia moyo wako utakapokuwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo pia moyo wako utakapokuwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako pia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani limbiko lako liliko, ndiko, nao moyo wako utakakokuwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana pahali akiba yako inapokuwa, ni pale roho yako inapokuwa vilevile.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa maana ilipo hazina yenu, ndipo utakapokuwa na moyo wako.