Matthew 6:31 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Basi, msiwe na wasiwasi: ‘Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo msiwe na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’ au ‘Tutakunywa nini?’ au ‘Tutavaa nini?’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Msijisumbue na kusema, ‘Tutakula nini?’ au ‘Tutakunywa nini?’ au ‘Tutavaa nini?’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Basi, msiwe na wasiwasi: Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Basi, msiwe na wasiwasi: ‘Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo msiwe na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’ Au ‘Tutakunywa nini?’ Au ‘Tutavaa nini?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo msiwe na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’ Au ‘Tutakunywa nini?’ Au ‘Tutavaa nini?’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Basi, msiwe na wasiwasi: ‘Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Basi msisumbuke mkisema: Tutakula nini? au: Tutakunywa nini? au: Tutavaa nini?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Basi musijisumbue kwa ajili ya chakula, kwa ajili ya kinywaji au kwa ajili ya nguo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Msisumbuke, bassi, mkinena, Tuleni? au, Tunyweni? au, Tuvaeni?