Matthew 6:33 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bali, shughulikeni kwanza juu ya ufalme wa Mungu na matakwa yake, na hayo yote mtapewa kwa ziada.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake, na haya yote atawapa pia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na mambo yote ambayo Mungu anahesabu kuwa ni mema na yenye haki. Ndipo Mungu atakapowapa yote mnayohitaji.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Bali, zingatieni kwanza Ufalme wa Mungu na matakwa yake, na hayo mengine yote mtapewa kwa ziada.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bali, shughulikeni kwanza juu ya ufalme wa Mungu na matakwa yake, na hayo yote mtapewa kwa ziada.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu na haki yake na haya yote mtaongezewa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini utafuteni kwanza Ufalme wa Mwenyezi Mungu na haki yake, na haya yote atawapa pia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bali, shughulikeni kwanza juu ya ufalme wa Mungu na matakwa yake, na hayo yote mtapewa kwa ziada.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na wongofu wake! Ndivyo, mtakavyopewa hayo yote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini ninyi mushugulikie kwanza Ufalme wa Mungu na kufuata haki mbele yake, naye atawaongezea vitu vile vyote.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bali utafuteni kwanza ufalme wa Mungu, na haki yake; na haya yote mtazidishiwa.