Matthew 7:28 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati wa watu ukashangazwa na mafundisho yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa alipomaliza kusema maneno haya, umati wa watu wakashangazwa sana na mafundisho yake,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alipomaliza kufundisha, watu walishangaa sana namna alivyokuwa akifundisha.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati wa watu ukashangazwa na mafundisho yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati wa watu ukashangazwa na mafundisho yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu alipomaliza kusema maneno haya, makutano ya watu wakashangazwa sana na mafundisho yake,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa alipomaliza kusema maneno haya, makutano ya watu wakashangazwa sana na mafundisho yake,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati wa watu ukashangazwa na mafundisho yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa, Yesu alipokwisha kuyasema maneno haya, makundi ya watu walishangazwa na mafundisho yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, makundi ya watu wakashangaa sana kwa kuona namna alivyowafundisha;
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ikawa, Yesu alipomaliza maneno haya, makutano wakashangaa kwa mafundisho yake: