Matthew 7:29 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye amri, wala si kama waandishi wao.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hakufundisha kama walimu wao wa sheria; alifundisha kwa mamlaka.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hakuwa kama walimu wao wa Sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, wala si kama waandishi wao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani alikuwa akiwafundisha kama wenye nguvu, si kama waandishi wao.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye amri, wala si kama waandishi wao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kwa maana hakuwafundisha sawa vile walimu wao wa Sheria, lakini kama vile mutu mwenye mamlaka.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa maana alikuwa akiwafundisha kwa namna ya mwenye mamlaka, wala si kama waandishi wao.