Matthew 8:1 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu aliposhuka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa aliposhuka kutoka mlimani, makundi ya watu wakamfuata.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye aliposhuka mlimani, makutano mengi walimfuata.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alipotelemka kutoka kwenye kilima, umati mkubwa wa watu ulimfuata.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu aliposhuka kutoka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu aliposhuka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu aliposhuka kutoka mlimani, makutano makubwa ya watu yakamfuata.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa aliposhuka kutoka mlimani, makutano makubwa ya watu yakamfuata.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye aliposhuka mlimani, makutano mengi walimfuata.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu aliposhuka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Alipotelemka mlimani, makundi mengi ya watu wakamfuata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye aliposhuka mlimani, makutano mengi walimfuata.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu aliposhuka toka kwa mulima, makundi mengi ya watu wakamufuata.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ALIPOSHUKA mlimani, makutano mengi walimfuata.