Matthew 8:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwingine katika wanafunzi wake akamwambia, Bwana, nipe ruhusa kwanza, niende nikamzike baba yangu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mmoja wa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana mimi pia nitakufuata, lakini niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwingine katika wanafunzi wake akamwambia, Bwana, nipe ruhusa kwanza, niende nikamzike baba yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwanafunzi wake mwingine akamwambia: Bwana, nipe ruhusa, kwanza niende, nimzike baba yangu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwingine katika wanafunzi wake akamwambia, Bwana, nipe ruhusa kwanza, niende nikamzike baba yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na mutu mwingine mumoja kati ya wanafunzi wake akamwambia: “Bwana, unipe ruhusa kwanza niende kuzika baba yangu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mwingine katika wanafunzi wake akamwambia, Bwana, nipe rukhusa kwanza, niende nikamzike baba yangu.