Matthew 8:5 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alipokuwa anaingia mjini Kafarnaumu, jemadari mmoja alimwendea, akamsihi
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa alipoingia Kapernaumu, jemadari mmoja alimjia, kumwomba msaada,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hata alipoingia Kapernaumu, akida mmoja alimjia,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alikwenda Kapernaumu. Alipoingia mjini, afisa wa jeshi alimjia na kumwomba msaada.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alipokuwa anaingia mjini Kafarnaumu, ofisa mmoja Mroma alimwendea, akamsihi
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alipokuwa anaingia mjini Kafarnaumu, jemadari mmoja alimwendea, akamsihi
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu alipoingia Kapernaumu, jemadari mmoja alimjia, kumwomba msaada,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa alipoingia Kapernaumu, jemadari mmoja alimjia, kumwomba msaada,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na alipoingia Kapernaumu, afisa mmoja alimjia,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alipokuwa anaingia mjini Kafarnaumu, jemadari mmoja alimwendea, akamsihi
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu alipoingia Kapernaumu, mkubwa wa askari akamjia, akambembeleza akisema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hata alipoingia Kapernaumu, akida mmoja alimjia,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu alipokuwa akiingia katika muji Kapernaumu, mukubwa mumoja wa waaskari akamufikia na kumusihi,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Hatta Yesu alipoingia Kapernaum, akida alimjia, akamsihi,