Matthew 8:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani na amepooza, tena ana maumivu makali ya kutisha.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akamsihi, akisema, Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza, anaumwa sana.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Akasema, “Bwana, mtumishi wangu ni mgonjwa sana nyumbani na amelala kitandani. Hawezi hata kutingishika na ana maumivu makali sana.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
akisema, “Mheshimiwa, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani amepooza, tena ana maumivu makali ya kutisha.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani na amepooza, tena ana maumivu makali ya kutisha.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akamsihi, akisema, Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza, anaumwa sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Bwana, mtoto wangu amelala nyumbani, anaumia vibaya kwa kulemaa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akamsihi, akisema, Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza, anaumwa sana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
akisema: “Bwana, mutumishi wangu anawezwa na ugonjwa wa kupooza, naye amelala ndani ya nyumba, akiteswa sana.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
akinena, Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza, anaumwa sana.