Matthew 9:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa maana alisema moyoni mwake, “Nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Aliwaza, “Ikiwa nitagusa tu joho lake, nitapona.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
maana alisema moyoni: Hata nikiigusa nguo yake tu nitapona.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kwa maana alikuwa akijisemesha: “Kama nikigusa tu nguo yake, nitapona.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa maana alisema kimoyomoyo, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona.