Matthew 9:24 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
akasema, “Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.” Nao wakamcheka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
akawaambia, “Ondokeni! Kwa maana binti huyu hakufa, bali amelala.” Wakamcheka kwa dhihaka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akawaambia, Ondokeni; kwa maana kijana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akasema, “Ondokeni. Msichana hajafa. Amelala tu.” Lakini watu wakamcheka.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
akasema, “Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.” Nao wakamcheka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
akasema, “Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.” Nao wakamcheka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
akawaambia, “Ondokeni! Kwa maana binti huyu hakufa, bali amelala.” Wakamcheka kwa dhihaka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
akawaambia, “Ondokeni! Kwa maana binti huyu hakufa, bali amelala.” Wakamcheka kwa dhihaka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akawaambia, Ondokeni; kwa maana msichana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
akasema, “Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.” Nao wakamcheka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akasema: Ondokeni! Kwani kijana hakufa, ila amelala usingizi tu; ndipo, walipomcheka sana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akawaambia, Ondokeni; kwa maana kijana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu akasema: “Mutoke hapa. Binti huyu mudogo hakukufa, lakini analala tu.” Nao wakaanza kumuchekelea.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
akawaambia, Ondokeni: kwa maana kijana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.