Matthew 9:25 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini watu walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule kijana akasimama.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baada ya watu kutolewa nje ya nyumba, Yesu aliingia kwenye chumba cha msichana. Aliushika mkono wa msichana na msichana akasimama.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini watu walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini watu walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule msichana akasimama.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wale watu walipokwisha fukuzwa, akaingia, akamshika mkono wake; ndipo, yule kijana alipoinuka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule kijana akasimama.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na watu wale walipokwisha kufukuzwa, Yesu akaingia ndani ya chumba, akashika mukono wa yule binti, naye akasimama.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Hatta makutano walipoondoshwa, akaingia, akamshika mkono wake; yule kijana akasimama.