Matthew 9:30 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: “Msimwambie mtu yeyote jambo hili.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Macho yao yakafunguka. Isa akawaonya vikali, akisema, “Chungeni mtu yeyote asijue kuhusu jambo hili.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndipo wakaweza kuona. Yesu akawaonya kwa nguvu. Akasema, “Msimwambie yeyote kuhusu hili.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: “Msimwambie mtu yeyote jambo hili.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: “Msimwambie mtu yeyote jambo hili.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Macho yao yakafunguka. Yesu akawaonya vikali, akisema, “Angalieni mtu ye yote asijue kuhusu jambo hili.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Macho yao yakafunguka. Isa akawaonya vikali, akisema, “Angalieni mtu yeyote asijue kuhusu jambo hili.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: “Msimwambie mtu yeyote jambo hili.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, macho yao yalipofumbuka. Kisha Yesu akawakemea akisema: Angalieni, mtu hata mmoja asiyasikie haya!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nayo macho yao yakapona. Na Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema: “Angalisho, musimujulishe hata mutu mumoja jambo hili.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Macho yao yakafumbuka. Yesu akawaagiza kwa nguvu, akinena, Angalieni hatta mtu mmoja asijue.