Matthew 9:34 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, “Anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Mafarisayo wakasema, “Huyo anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa mkuu wa pepo wachafu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini Mafarisayo wakasema, Kwa nguvu za mkuu wa pepo atoa pepo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Mafarisayo walisema, “Mtawala wa mashetani ndiye anayempa nguvu ya kuyatoa mashetani.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, “Anawatoa pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, “Anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Mafarisayo wakasema, “Huyo anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa mkuu wa pepo wachafu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Mafarisayo wakasema, “Huyo anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa mkuu wa pepo wachafu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini Mafarisayo wakasema, Kwa nguvu za mkuu wa pepo atoa pepo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, “Anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Mafariseo wakasema: Nguvu ya mkuu wa pepo ndiyo, huyu anayofukuzia pepo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini Mafarisayo wakasema, Kwa nguvu za mkuu wa pepo atoa pepo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Wafarisayo wakasema: “Ni mukubwa wa pepo ndiye anayemupa uwezo wa kufukuza pepo.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini Mafarisayo wakanena, Kwa mkuu wa pepo afukuza pepo.