Matthew 9:7 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huyo mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akaenda nyumbani kwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule mtu akasimama, akaenda nyumbani mwake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaondoka, akaenda zake nyumbani kwake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtu yule akasimama na kwenda nyumbani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Huyo mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akaenda nyumbani kwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huyo mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akaenda nyumbani kwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule mtu akasimama, akaenda nyumbani kwake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule mtu akasimama, akaenda nyumbani kwake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaondoka, akaenda zake nyumbani kwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huyo mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akaenda nyumbani kwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, alipoinuka akaenda nyumbani kwake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaondoka, akaenda zake nyumbani kwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na mutu yule akasimama na kwenda kwake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akaondoka, akaenda zuke nyumbani kwake.