Micah 5:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nitatokomeza matendo yenu ya uchawi, nanyi hamtakuwa tena na wapiga ramli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitaangamiza uchawi wenu, na hamtapiga tena ramli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
nami nitakatilia mbali uchawi, usiwe mkononi mwako; wala hutakuwa tena na watu wenye kutabana;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nitaziharibu sanamu zenu, na nguzo zenu za ibada; nanyi mtakoma kuabudu vitu mlivyotengeneza wenyewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitaangamiza uchawi wenu na hamtapiga tena ramli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitaangamiza uchawi wenu na hamtapiga tena ramli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
nami nitakatilia mbali uchawi, usiwe mkononi mwako; wala hutakuwa tena na watu wenye kutabana;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nitatokomeza matendo yenu ya uchawi, nanyi hamtakuwa tena na wapiga ramli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena ndipo, nitakapovitowesha kwako vinyago vyako na nguzo zako za mawe za kutambikia, usiangukie tena yaliyo kazi za mikono yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
nami nitakatilia mbali uchawi, usiwe mkononi mwako; wala hutakuwa tena na watu wenye kutabana;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitaziharibu sanamu zenu, na nguzo zenu za ibada; nanyi mutakoma kuabudu vitu mulivyotengeneza wenyewe.