Nehemiah 12:7 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hao walikuwa ni wakuu wa makuhani na ndugu zao wakati wa Yeshua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hawa walikuwa viongozi wa makuhani na wenzao wakati wa Yeshua.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Salu, Amoki, Hilkia, Yedaya. Hawa walikuwa wakuu wa makuhani na ndugu zao siku za Yoshua.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hao walikuwa ni wakuu wa makuhani na ndugu zao wakati wa Yeshua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hawa walikuwa viongozi wa makuhani na wenzao wakati wa Yeshua.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hawa walikuwa viongozi wa makuhani na wenzao wakati wa Yeshua.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Salu, Amoki, Hilkia, Yedaya. Hawa walikuwa wakuu wa makuhani na ndugu zao siku za Yoshua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hao walikuwa ni wakuu wa makuhani na ndugu zao wakati wa Yeshua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Salu, Amoki, Hilkia, Yedaya; hawa walikuwa wakuu wa watambikaji na wa ndugu zao katika siku za Yesua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Salu, Amoki, Hilkia, Yedaya. Hawa walikuwa wakuu wa makuhani na ndugu zao siku za Yoshua.