Nehemiah 12:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nao Bakbukia na Uno rafiki zao, walisimama ibadani mkabala nao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena Bakbukia na Uno, ndugu zao, kuwaelekea kwa zamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nao Bakbukia na Uno rafiki zao, walisimama ibadani mkabala nao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena Bakbukia na Uno, washiriki wenzao walisimama mkabala wao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nao Bakbukia na Uno rafiki zao, walisimama ibadani mkabala nao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ndugu zao Bakibukia na Uni wakasimama usoni pao, wawasaidie.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena Bakbukia na Uno, ndugu zao, kuwaelekea kwa zamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao Bakubukia na Uno warafiki zao, walisimama wakielekeana nao katika ibada.