Numbers 1:52 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waisraeli wengine wote watapiga kambi zao makundimakundi, kila mtu katika kundi lake na chini ya bendera yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa Israeli watazipanga hema zao, kila mtu katika marago yake mwenyewe, kila mtu hapo ilipo beramu yake mwenyewe, kama majeshi yao yalivyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waisraeli wengine wote watapiga kambi zao makundimakundi, kila mtu katika kundi lake na chini ya bendera yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa Israeli watazipanga hema zao, kila mtu katika kambi yake mwenyewe, kila mtu hapo ilipo bendera yake mwenyewe, kama majeshi yao yalivyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waisraeli wengine wote watapiga kambi zao makundimakundi, kila mtu katika kundi lake na chini ya bendera yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wa Isiraeli watakapopiga makambi, kila mtu na apige hema katika kambi lake penye bendera ya kikosi cha kwao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa Israeli watazipanga hema zao, kila mtu katika marago yake mwenyewe, kila mtu hapo ilipo beramu yake mwenyewe, kama majeshi yao yalivyo.