Numbers 10:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Zebuluni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na juu ya jeshi la kabila ya wana wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Zebuluni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Zebuluni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye mkuu wa vikosi vya shina la wana wa Zebuluni alikuwa Eliabu, mwana wa Heloni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na juu ya jeshi la kabila ya wana wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa jeshi la kabila la Zebuluni.