Numbers 10:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shelumieli mwana wa Suri-shadai, aliliongoza kabila la Simeoni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena juu ya jeshi la kabila ya wana wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Suri-shadai.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shelumieli mwana wa Suri-shadai, aliliongoza kabila la Simeoni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Suri-shadai.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shelumieli mwana wa Suri-shadai, aliliongoza kabila la Simeoni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye mkuu wa vikosi vya shina la wana wa Simeoni alikuwa Selumieli, mwana wa Surisadai.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena juu ya jeshi la kabila ya wana wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Suri-shadai.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Selumieli mwana wa Suri-Shadai, aliongoza kabila la Simeoni.